Home Search Countries Albums

Ni Poa

AMANI G Feat. PITSON

Read en Translation

Ni Poa Lyrics


It’s AMANI G
Yoyo yo…. Yoyoyo…iyo yo yo  yo…
Yoyo yo…. Yoyoyo… iyo yo yo  yo…

[CHORUS]
Ni Poa Kuwa na Rafiki kama Yesu
Ukianguka kwa shimo anakutoa
Ni poa kuwa na rafiki kama Yesu
Ukiwa mwenye dhambi anakuokoa

[VERSE 1]
Na je rafiki yako akisikia (akisikia)
Kwamba ndugu yako ameaga dunia
Siku ya nne anatokea
Na ndugu yako rafiki anamfufua

Na je Rafiki yako ukimwambia (ukimwambia)
Hatujalipa kodi wanatukujia (aaah)
Anakutuma kafungue mdomo wa samaki
Hapo ndani kuna mapeni lipa kodi

[CHORUS]
Ni Poa Kuwa na Rafiki kama Yesu
Ukianguka kwa shimo anakutoa
Ni poa kuwa na rafiki kama Yesu
Ukiwa mwenye dhambi anakuokoa

Yoyo yo…. Yoyoyo…iyo yo yo  yo…
Yoyo yo…. Yoyoyo… iyo yo yo  yo…

Imagine rafiki ambaye haogopi
Imagine rafiki ambaye hatoroki
Imagine rafiki ambaye hakuwachi
Hata maji rafiki yanamtii
Mawimbi yakija rafiki anakemea kemea
Juu ya maji rafiki anatembea tembea
Hakuna jambo rafiki linamlemea lemea
Yesu ni rafiki anakungojea

[CHORUS]
Ni Poa Kuwa na Rafiki kama Yesu
Ukianguka kwa shimo anakutoa
Ni poa kuwa na rafiki kama Yesu
Ukiwa mwenye dhambi anakuokoa

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2018


Album : Ni Poa (Single)


Added By : Afrika Lyrics

SEE ALSO

AUTHOR

AMANI G

Kenya

AMANI GRACIOUS  is a young upcoming musician from Kenya currently signed to Pine Creek Records ...

YOU MAY ALSO LIKE