Accueil Recherche Pays Albums

Jike shupa

ALIKIBA

Jike shupa Lyrics


Nipeleke kwa mganga , na mimi nataka wanga
maana mapenzi yamenikoroga kinoma,
anachanje chale mwili mzima,
nisimkumbuka ata jina, yule hasidi
gaidi wa moyo wangu

haya mapenzi basi, nimeyavulia shati,
kupendwa ni ajira, namimi sina vyeti
kule kukusifia, mabaya kukufichia,
mbele ya mama, oh baba, oh mama , oh lala

mapenzi si ubondia, najikaza uku nateketea,
bora nijivue, nisijisumbue

eiii,
sasa basi , inatosha, nimekopesha mwili wangu,
bila kuogopa ,
kumbe jike shupa ,
ata kwenye karata, uku unaruka kila sehemu umeshapita,
sasa basi..

ulijidai kunipima akili  kwamizani
kuniendesha kama toy, kukosa nuru kutwaa kuzama,
ukanikinai na aibu kunitia hadharani,
kuiniona sifahi masikini nimekosa nini.

(haya mapenzi basi, nimeyavulia shati,
kupendwa ni ajira, namimi sina vyeti)X 2
kule kukusifia, mabaya kukufichia,
mbele ya mama, oh baba, oh mama , oh lala

(mapenzi si ubondia, najikaza uku nateketea,
bora nijivue, nisijisumbue) 
eiii,
sasa basi , inatosha, nimekopesha mwili wangu,
bila kuogopa ,
kumbe jike shupa ,
ata kwenye karata, uku unaruka kila sehemu umeshapita,
sasa basi

Inauma 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2016


Album : Jike Shupa


Copyright : ©2016


Added By : Its marleen

SEE ALSO

AUTHOR

ALIKIBA

Tanzanie

Ali Saleh Kiba, mieux connu sous son nom de scène AliKiba, est un artiste tanzanien, auteur-c ...

YOU MAY ALSO LIKE