Sijabahatisha Lyrics
Upendo wake ni hakika na kweli
Akipenda hawezi kuacha
Upendo wake ni hakika na kweli
Akipenda hawezi kubwaga
Kipi cha kututenga na Yesu
Akipenda hawezi kuacha
Sio njaa sio shida wala dhiki
Akipenda hawezi kuacha
Sijabahatisha kukutana na Baba
Anayenipenda huyo ni Mungu
Sijabahatisha kukutana na Baba
Anayenipenda huyo ni Mungu
Kabla sijampenda yeye alinipenda
Kabla sijazaliwa tayari alinijua
Nilipokuwa gizani yeye alinifia
Nilipokuwa mpotevu kwa upendo alinisaka
Uaminifu wake ni wa milele
Maana agano lake ladumu milele
Ukarimu wake ni wa milele
Na fadhili zake za dumu milele
Sijabahatisha kukutana na Baba
Anayenipenda huyo ni Mungu
Sijabahatisha kukutana na Baba
Anayenipenda huyo ni Mungu
Anaye ponya niye, Anaye okoa niye
Anaye huisha nasfsi yangu niye
Anaye inua niye, Anayetosha niye
Anaye ituliza dhoruba niye
Sijabahatisha kukutana na Baba
Anayenipenda huyo ni Mungu
Sijabahatisha kukutana na Baba
Anayenipenda huyo ni Mungu
Sijabahatisha kukutana na Baba
Anayenipenda huyo ni Mungu
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2022
Album : Sijabahatisha (Single)
Added By : Farida
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE