Wimbo Wangu Lyrics

Wewe ndiwe wimbo wangu
Wewe ndiwe wimbo wangu
Wimbo wangu, wimbo wangu
Nitaimba sifa zako tu
Sifa zako tu, sifa zako tu
Sitaki kuenda mbali nawe
Bila nawe sitaweza pekee
Wewe unanifaa
Wewe ndiwe amani yangu
Kando yako sina mwingine
Taa ya njia yangu
Wewe ndiwe wimbo wangu
Wimbo wangu, wimbo wangu
Nitaimba sifa zako tu
Sifa zako tu, sifa zako tu
Sifa zako kinywani mwangu
Haziwezi kufika kikomo
Wewe unanifaaa
Mwanga wa wokovu wangu
Kila kitu napata kwako
Ewe baba heee
Wewe ndiwe wimbo wangu
Wimbo wangu, wimbo wangu
Nitaimba sifa zako tu
Sifa zako tu, sifa zako tu
Nitakusujudu Yahweh
Patakatifuni mwako
Wewe unanifaaa
Kimbilio la usalama
Wokovu na fahari yangu
Mwamba Imara
Wewe ndiwe wimbo wangu
Wimbo wangu, wimbo wangu
Nitaimba sifa zako tu
Sifa zako tu, sifa zako tu
I will sing for you
Furaha yangu, mfariji wangu
Tegemeo langu, kimbilio langu
Mfariji wangu, msaidizi wangu
Wewe ndiwe wimbo wangu
Wimbo wangu, wimbo wangu
Nitaimba sifa zako tu
Sifa zako tu, sifa zako tu
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Wimbo Wangu (Single)
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE