Wewe Ndiwe Lyrics
Niwe, niwe kiongozi wangu
Niwe, niwe kiongozi wangu
Wewe niwe kiongozi wangu
Wewe niwe mlinzi wangu
Rabana nikulipe nini
Kwa yale yote unayonitendea
Unayoitendea
Umenipa uwezo wa kuona siku nyingine
Umenipa neema mbele ya wanadamu
Mbele zako wewe niwe
Wewe niwe, kiongozi wangu
Wewe niwe mlinzi wangu
Mlinzi wangu daima ni wewe
Kiongozi wangu baba, mlim=nzi wangu
Tegemeo la moyo ni wewe yea yeah bwana
Jehovah Nissi, -- sema
Tegemeo la moyo wangu
Wewe niwe, kiongozi wangu
Wewe niwe mlinzi wangu
Hao watesi wanaokusumbua
Usilie hautawai waona tena
Wanaokuhangaisha kila siku
Usilie yuko bwana
Wewe niwe, kiongozi wangu
Wewe niwe mlinzi wangu
Wakati wa majaribu
Wakati wa shida
Niwe, niwe, kiongozi wangu
Niwe, niwe, kiongozi wangu
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Wewe Ndiwe (Album)
Copyright : (c) Still Alive Production Limited
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE