Uniongoze Lyrics
Uniongoze, uniongoze
Bila wewe bwana, sitayaweza
Uniongoze, uniongoze
Bila wewe bwana
Mimi si kitu
Uniongoze, uniongoze
Bila wewe bwana, sitayaweza
Uniongoze, uniongoze
Bila wewe bwana
Mimi si kitu
Wewe uliye nihesabia haki
Ukanipa uzima wako kutoka juu
Mungu wa mababu zangu
Tena mungu wa eliya
Tuna Imani na wewe
Tunakutazamia wewe
Ninachotaka mimi, uniongoze
Uniongoze, uniongoze
Bila wewe bwana, sitayaweza
Uniongoze, uniongoze
Bila wewe bwana
Mimi si kitu
Usipo tuongoza bwana
Ni nani atatuongoza
Mungu muumba mbingu na nchi
Ni wewe Baba yangu
Nishike mkono wangu bwana
Uniongoze Jehowah
Bwana mungu wangu wangu, uniongoze
Uniongoze, uniongoze
Bila wewe bwana, sitayaweza
Uniongoze, uniongoze
Bila wewe bwana
Mimi si kitu
Uniongoze, uniongoze
Bila wewe bwana, sitayaweza
Uniongoze, uniongoze
Bila wewe bwana
Mimi si kitu
Uniongoze, uniongoze
Bila wewe bwana, sitayaweza
Uniongoze, uniongoze
Bila wewe bwana
Mimi si kitu
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Uniongoze (Single)
Added By : Farida
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE