Accueil Recherche Pays Albums

Sifa Lyrics


(Still Alive)

Unastahili sifa bwana Mungu
Unastahili sifa bwana 
Unastahili sifa bwana Mungu
Unastahili sifa bwana 

Uliyenipa uzima (Zima)
Uzima wa bure (Bure)
Unastahili sifa Bwana

Uliyenipa uzima (Zima)
Uzima wa bure (Bure)
Unastahili sifa Bwana

Kwa haki yako nimetawala dunia
Kwa haki yako nimepata kibali
Kwa haki yako nimetawala duniani
Kwa haki yako umenipa kibali

Unastahili sifa bwana Mungu
Unastahili sifa bwana 
Unastahili sifa bwana Mungu
Unastahili sifa bwana 

Uliyeziumba usiku na mchana
Mimi mwenyewe ni kazi ya mikono yako
Baba nitumie jinsi upendavyo
Nami nitumike jinsi utakavyo

Eh maana bila wewe mimi ni kazi bure (Bure)
Maana bila wewe mimi si chochote

Kwa haki yako nimetawala dunia
Kwa haki yako nimepata kibali
Kwa haki yako nimetawala duniani
Kwa haki yako umenipa kibali

Unastahili sifa bwana Mungu
Unastahili sifa bwana 
Unastahili sifa bwana Mungu
Unastahili sifa bwana 

Pokea, pokea sifa bwana
Pokea chukua Yesu
Pokea chukua Yesu, pokea chukua 
Pokea chukua Yesu, pokea chukua

Kwa haki yako nimetawala dunia
Kwa haki yako nimepata kibali
Kwa haki yako nimetawala duniani
Kwa haki yako umenipa kibali

Unastahili sifa bwana Mungu
Unastahili sifa bwana 
Unastahili sifa bwana Mungu
Unastahili sifa bwana 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Watakusema (Album)


Copyright : (c) Still Alive Production Limited


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

ALI MUKHWANA

Kenya

Ali Mukhwana est un musicien du Kenya. ...

YOU MAY ALSO LIKE