Home Search Countries Albums

Ni kwa Neema

ALI MUKHWANA

Ni kwa Neema Lyrics


Eeh ndugu yangu kuishi hapa duniani
Sio kwa nguvu zako

(Still Alive)

Ni kwa neema (Neema)
Ndiposa ninaishi, muumba mbingu na nchi
Ni kwa neema (Neema tu)
Si kwa nguvu zangu mi, ndiposa ninaishi

Ni kwa neema (Neema)
Ndiposa ninaishi, sio kwa nguvu zangu
Ni kwa neema yako(Neema tu)
Si kwa nguvu zangu mimi 

Ni wewe uliyenichagua
Tena ukaniokoa
Baba ukaniweka duniani

Sio kwamba nimetenda mema 
Au ninafaa sana 
Bwana nimekuweka moyoni

Natamani nikufahamu vyema
Natamani Rabbi
Nikujue nikufahamu nyema
Nikujue jinsi ulivyo

Ni kwa neema (Neema)
Ndiposa ninaishi, muumba mbingu na nchi
Ni kwa neema (Neema tu)
Si kwa nguvu zangu mimi

Ni kwa neema (Neema)
Ndiposa ninaishi, sio kwa nguvu zangu
Ni kwa neema yako(Neema tu)
Si kwa nguvu zangu mimi 

Yesu peleleza moyo wangu bwana
Kama kuna njia iletayo majuto
Peleleza moyo wangu bwana 
Bwana naomba nikupendeze

Peleleza moyo wangu bwana
Kama kuna njia iletayo majuto
Peleleza moyo wangu naomba 
Baba naomba nikupendeze

Maana umenichagua, mimi kukutumikia
Nami najiachilia moyoni mwangu

Natamani nikufahamu vyema
Natamani Rabbi
Nikujue nikufahamu nyema
Nikujue jinsi ulivyo

Ni kwa neema (Neema)
Ndiposa ninaishi, muumba mbingu na nchi
Ni kwa neema (Neema tu)
Si kwa nguvu zangu mimi

Ni kwa neema (Neema)
Ndiposa ninaishi, sio kwa nguvu zangu
Ni kwa neema yako (Neema tu)
Si kwa nguvu zangu mimi 

Natamani nikufahamu vyema
Natamani Rabbi
Nikujue nikufahamu nyema
Nikujue jinsi ulivyo

Ni kwa neema (Neema)
Ndiposa ninaishi, muumba mbingu na nchi
Ni kwa neema (Neema tu)
Si kwa nguvu zangu mimi

Ni kwa neema (Neema)
Ndiposa ninaishi, sio kwa nguvu zangu
Ni kwa neema yako (Neema tu)
Si kwa nguvu zangu mimi 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Watakusema (Album)


Copyright : (c) 2020 Still Alive Production Limited.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

ALI MUKHWANA

Kenya

Ali Mukhwana is a musician from Kenya. ...

YOU MAY ALSO LIKE