Ni kwa Neema Lyrics

Eeh ndugu yangu kuishi hapa duniani
Sio kwa nguvu zako
(Still Alive)
Ni kwa neema (Neema)
Ndiposa ninaishi, muumba mbingu na nchi
Ni kwa neema (Neema tu)
Si kwa nguvu zangu mi, ndiposa ninaishi
Ni kwa neema (Neema)
Ndiposa ninaishi, sio kwa nguvu zangu
Ni kwa neema yako(Neema tu)
Si kwa nguvu zangu mimi
Ni wewe uliyenichagua
Tena ukaniokoa
Baba ukaniweka duniani
Sio kwamba nimetenda mema
Au ninafaa sana
Bwana nimekuweka moyoni
Natamani nikufahamu vyema
Natamani Rabbi
Nikujue nikufahamu nyema
Nikujue jinsi ulivyo
Ni kwa neema (Neema)
Ndiposa ninaishi, muumba mbingu na nchi
Ni kwa neema (Neema tu)
Si kwa nguvu zangu mimi
Ni kwa neema (Neema)
Ndiposa ninaishi, sio kwa nguvu zangu
Ni kwa neema yako(Neema tu)
Si kwa nguvu zangu mimi
Yesu peleleza moyo wangu bwana
Kama kuna njia iletayo majuto
Peleleza moyo wangu bwana
Bwana naomba nikupendeze
Peleleza moyo wangu bwana
Kama kuna njia iletayo majuto
Peleleza moyo wangu naomba
Baba naomba nikupendeze
Maana umenichagua, mimi kukutumikia
Nami najiachilia moyoni mwangu
Natamani nikufahamu vyema
Natamani Rabbi
Nikujue nikufahamu nyema
Nikujue jinsi ulivyo
Ni kwa neema (Neema)
Ndiposa ninaishi, muumba mbingu na nchi
Ni kwa neema (Neema tu)
Si kwa nguvu zangu mimi
Ni kwa neema (Neema)
Ndiposa ninaishi, sio kwa nguvu zangu
Ni kwa neema yako (Neema tu)
Si kwa nguvu zangu mimi
Natamani nikufahamu vyema
Natamani Rabbi
Nikujue nikufahamu nyema
Nikujue jinsi ulivyo
Ni kwa neema (Neema)
Ndiposa ninaishi, muumba mbingu na nchi
Ni kwa neema (Neema tu)
Si kwa nguvu zangu mimi
Ni kwa neema (Neema)
Ndiposa ninaishi, sio kwa nguvu zangu
Ni kwa neema yako (Neema tu)
Si kwa nguvu zangu mimi
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Watakusema (Album)
Copyright : (c) 2020 Still Alive Production Limited.
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE