Msalaba Lyrics

Yesu uzima wangu bwana
Mfariji wangu kiongozi wangu
Msalaba ndio asili ya mema
Nitautua mzigo wako
Nina uzima furaha daima
Njooni tufurahi kwako
Msalaba ndio asili ya mema
Nitautua mzigo wako
Nina uzima furaha daima
Njooni tufurahi kwako
Oooh Yesu sioni haya kwa Bwana
Kwake nitang'ara
Mti wake sitaukemea
Ni neno imara
Sioni haya kwa Bwana
Kwake nitang'ara
Mti wake sitaukemea
Ni neno imara
Sioni haya kwa Bwana
Kwake nitang'ara
Mti wake sitaukana
Ni neno imara
Msalaba ndio asili ya mema
Nitautua mzigo wako
Nina uzima furaha daima
Njooni tufurahi kwako
Msalaba ndio asili ya mema
Nitautua mzigo wako
Nina uzima furaha daima
Njooni tufurahi kwako
Bwana wangu, Mungu wangu
Ndilo jina lake
Sitakana kulisifu
Ni yeye muumba wangu
Bwana wangu, Mungu wangu
Ndilo jina lake
Sitakana kulisifu
Ni yeye muumba wangu
Msalaba ndio asili ya mema
Nitautua mzigo wako
Nina uzima furaha daima
Njooni tufurahi kwako
Msalaba ndio asili ya mema
Nitautua mzigo wako
Nina uzima furaha daima
Njooni tufurahi kwako
Msalaba ndio asili ya mema
Nitautua mzigo wako
Nina uzima furaha daima
Njooni tufurahi kwako
Msalaba ndio asili ya mema
Nitautua mzigo wako
Nina uzima furaha daima
Njooni tufurahi kwako
Msalaba ndio asili ya mema
Nitautua mzigo wako
Nina uzima furaha daima
Njooni tufurahi kwako
Msalaba ndio asili ya mema
Nitautua mzigo wako
Nina uzima furaha daima
Njooni tufurahi kwako
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Watakusema (Album)
Copyright : (c) 2020 Still Alive Production Limited.
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE