Hakuna Lyrics
Tunakupa sifa zote, Bwana wa Mabwana
Uketiye kwenye Enzi, Mfalme wa wafalme
Makerubi, Maserafi, wote wakutazamia
Ulimwengu umejawa, utukufu wako Bwana
Hakuna, Mungu kama wewe
Hakuna, kamwe kama wewe
Hakuna, wa kulinganishwa nawe
Hakuna, Mungu kama wewe
Hakuna, hakuna, kamwe kama wewe
Nani aokoa (ni wewe)
Nani anaponya (ni wewe)
Nani abariki (ni wewe)
Mungu kama wewe
Nani anaweza (ni wewe)
Nani mkombozi (ni wewe)
Nani anaweza (ni wewe)
Mungu kama wewe
Mtetezi wangu (ni wewe)
Bwana wa mabwana (ni wewe)
Bwana wa majeshi (ni wewe)
Mungu kama wewe
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Hakuna (Single)
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
ADAWNAGE
Kenya
Adawnage Band is a godpel band from Kenya. •2018 Maranatha Awards Best Band/Group(Kenya) • ...
YOU MAY ALSO LIKE