Accueil Recherche Pays Albums

Ruge Lyrics


 

Sijawai muona na upara, punk, dredi kama Chege
Hajawai vaa skin tight, Jeans shusha mlege
Sijui fegi, bangi, shisha, henny, mbege
Busara kila neno alikuwa habongi kibwege

Alikuwa mbongo clever, Kwaya, mixer reggea
Mzalendo kweli kweli ngangaro si legelege
Mamalkia wa nguvu, vipepeo kedekede
Kapromote michezo labda kama hukua ready

R.U.G.E jina lake Ruge
Alama alizoacha ni sifa tusizuge
Kama taifa lazima nyufa tuzibe
Usije dondoka ukuta uwazi vyetu waibe

Aliamini sanaa, wasanii na bidhaa
Kwanza pata nafasi, jenga jina kuwa star
Ongeza dhamani na nidhamu kwa mitaa
Maintain status ndio business na chapaa

Alikuwa ni baba
Alikuwa mwalimu kwetu
Alisimama kama nguzo yetu
Ili taifa liendelee ni lazima tuendeleze

Alikuwa ni baba
Alikuwa mwalimu kwetu
Alisimama kama nguzo yetu
Ili taifa liendelee ni lazima tuendeleze

Maneno yenye nidhamu kwa saiti ya upole
Bila kulipa ada wengi tulipata shule
Kwa makelele ya shangwe kama fiesta
Aliona upande wa pili vipi wakitambua na fursa

Mdogo mdogo vijana wakapigwa msasa
Bila kubagua dini, jinsia au siasa
Ogopa Mungu na technologia
Hicho ndicho ambacho alicho tuhusia

Najua wengi tu wameshakuimbia
Wengine wana mengi wanataka kukuambia
Ila ndo umeshatangulia
Nenda, jasiri muongoza njia

Scofield, Big Joe anagugumia
CMG kila siku twakuombea
Yeah, najua tunafatia salam
Kwa uncle KIBS zizi na kuendelea

Alikuwa ni baba
Alikuwa mwalimu kwetu
Alisimama kama nguzo yetu
Ili taifa liendelee ni lazima tuendeleze

Alikuwa ni baba
Alikuwa mwalimu kwetu
Alisimama kama nguzo yetu
Ili taifa liendelee ni lazima tuendeleze

Alikuwa ni baba
Alikuwa mwalimu kwetu
Alisimama kama nguzo yetu

Alikuwa ni baba
Alikuwa mwalimu kwetu
Alisimama kama nguzo yetu

Alikuwa ni baba
Alisimama kama nguzo yetu

Lets take over the game

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Ruge (Single)


Copyright : All rights to the owner.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

ADAM MCHOMVU

Tanzanie

Adam  ...

YOU MAY ALSO LIKE