Home Search Countries Albums

Imeniuma Sana

ZABRON SINGERS

Read en Translation

Imeniuma Sana Lyrics


Hili limeniliza sana

Hili limeniumiza sana

Awamu hii nimeumia sana

Mungu wangu nisaidie eeh

Mbona umeniacha sana

Katika hili nimeumia sana aaah

Nakiri nakuhitaji sana

Mungu wangu nisaidie eeeh

Ungeniuliza nisingekubali mimi

Mpendwa wangu nimeache aende eeh

Rafiki yangu kipenzi aende

Mungu hapana kwangu si sawa aah

Ile mipango imezima

Kwako ni sawa ila nabaki peke yangu

Nitafanyaje nimeachwa peke yangu

Mungu hapana, kwangu si sawa aah

Ila naelewa mungu uuh

Kazi yako haina kosa aaah

Nakushukuru kwa yote

Mapenzi yako yatimizwe eeeh

Hili limeniliza sana

Hili limeniumiza sana

Awamu hii nimeumia sana

Mungu wangu nisaidie eeh

Mbona umeniacha sana

Katika hili nimeumia sana aaah

Nakiri nakuhitaji sana

Mungu wangu nisaidie eeeh

Japo nawaza nafarijika bwana

Kwamba kunayo siku tutakutana nae

Ile asubuhi njema uloiweka pale

Kwa watu wanao kuamini yesu

Nitie nguvu baba nimechoka

Moyo unauma nimechoka aaah

Nisaidie baba nimechoka

Peke yangu mimi siwezi

Tufundishe mungu wetu

Kuhesabu siku zetu

Japo dhoruba na shida

Tusichoke kukutumikia

Hili limeniliza sana

Hili limeniumiza sana

Awamu hii nimeumia sana

Mungu wangu nisaidie eeh

Mbona umeniacha sana

Katika hili nimeumia sana aaah

Nakiri nakuhitaji sana

Mungu wangu nisaidie eeeh

Mtu wa watu huyu

Mwenye upendo huyu

Mpatanishi huyu

Kaenda vipi tena aah

Mtu wa watu huyu

Mwenye upendo huyu

Mpatanishi huyu

Kaenda vipi tena aah

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2024


Album : (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

ZABRON SINGERS

Tanzania

Zabron singers is an evangelism group found in Kahama Tanzania, since 2006 to 2015 more than sixty h ...

YOU MAY ALSO LIKE