Home Search Countries Albums

Uko Wapi Mungu

WILLIAM YILIMA

Uko Wapi Mungu Lyrics


Uko wapi eeeeh Mungu wangu 
Uko wapi njoo niokoe(x2)

Mawimbi yanataka kuniangamiza
Misukosuko yananiandama
Majaribu hazikomi kwangu
Uko wapi Fanya hima niokoe
Uko wapi eeh Mungu wangu
Uko wapi njoo niokoe 
Mawimbi yanata kuniangamiza 
Misukosuko yananiandama
Dhoruba na majaribu hazikomi kwangu
Uko wapi Fanya hima niokoe

Uko wapi eeeeh Bwana
Usifiche uso Bwana
Nitachoka pekee yangu sitaweza 
Uko wapi Jehovah mbona Ni Kama umeniacha 
Usifiche uso wako Eeeeh Bwana 
Usifiche uso wako Bwana 

Nimevumbikwa 
Amani kwangu Ni Kama ndoto
Ole wangu nikifurahi siku moja
Siku sita nitalia wiki ipite  
Nikisimulia kwa ndugu wanasema nitajijua na Mungu wako
Wakati mwingine natamani Heri 
Nife
Kuliko niishi ninyanyasike hivi
Nimevumbikwa wimbi na mawazo amani 
Kwangu Ni Kama mawazo

Uko eeeeeh Mungu wa Elia 
Uko wapi eeeeeh Mungu wa Isaka 
Elishadai Fanya Mambo uniokoe
Uko wapi nikama umeniacha 
Usifiche uso wako Bwana

Nachoka pekee yangu sitaweza
Uko wapiiiiiiii eeeeeeh Bwana 
Mbona nikama umeniacha 
Usifiche uso wako Bwana
Nachoka pekee yangu sitaweza
Uko wapiiiiiiii eeeeeeh Bwana 
Mbona nikama umeniacha 
Usifiche uso wako Bwana

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2017


Album : Uko Wapi Mungu wangu


Copyright : ©2017


Added By : Its marleen

SEE ALSO

AUTHOR

WILLIAM YILIMA

Kenya

William R Yilima is a gospel artist from Kenya. ...

YOU MAY ALSO LIKE