Accueil Recherche Pays Albums

Kiboko We

WENDO MUSALY

Kiboko We Lyrics


Kiboko we
Kiboko we we
Yaani Kiboko we..we we
Ninacho taka kwako
Nimapenzi yenye furaha
Tupendane tusiachane
Tuishi maisha ya furaha
 
Mimi nakupenda honey
Nipe penzi lakituuzima
Nisije nikaumia
Watu waka nicheka
Kama nikweli wanipenda mimi
Nionyeshe ili niamini
Nikuvishe pete mikononi
Na tufunge pingu lamaisha
 
Mi na we mpaka mwisho wadu ni nia
Kama wanipenda babe nipe
Upendo wa dhati mi ni ringe
Kama wanipenda babe nipe
Upendo wa dhati mimi nipe
Kama wanipenda babe nipe
Upendo wa dhati mi ni ringe
Kama wanipenda babe nipe
Upendo wa dhati mimi nipe
 
Kunamengi watasema kutuusu sisi
Watajaribu kutuumiza Ili tuachane
Kama penzi tunalo ladhati
Tupendane tusitengane Eh
Watatupiga maneno ya unafki
Uku tukiwaonyesha upendo wa dhati yeh
 
Kama wanipenda babe nipe
Upendo wa dhati mi ni ringe
Kama wanipenda babe nipe
Upendo wa dhati mimi nipe
Kama wanipenda babe nipe
Upendo wa dhati mi ni ringe
Kama wanipenda babe nipe
Upendo wa dhati mimi nipe
 
Husiniambie unanipenda
Wakati hunipendi
Nionyeshé, nionyeshe
Ili niamini kama we niwaukweli
Ninachotá ni upendo wadhati
Toka moyoni mwako
Nionyeshe upendo ilinifarijike mimi
 
Kama wanipenda babe nipe
Upendo wa dhati mi ni ringe
Kama wanipenda babe nipe
Upendo wa dhati mimi nipe
Kama wanipenda babe nipe
Upendo wa dhati mi ni ringe
Kama wanipenda babe nipe
Upendo wa dhati mimi nipe

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Kiboko We (Single)


Added By : Wendo Musaly

SEE ALSO

AUTHOR

WENDO MUSALY

Congo RDC

Né le 21 novembre 1996, au Sud-Kivu en République démocratique du Congo. Wendo ...

YOU MAY ALSO LIKE