Home Search Countries Albums

Zubizuu

TRIO MIO

Zubizuu Lyrics


Tunakafunga wacha walale
Wamekaokota tuko mboka magizani
Hustle ni lowkey rada ka wochi
Wamezubaa, si tuko kazi

Hii Nairobi bunda ndo katiba unafuatwa
Kamoja kasunde huwezi skika buda ng'ata
Hii ni ya wale wote nikisota mliscatter
Niko mafutani ka kitunguu ju ya frying pan

Source ya mamistari nina verses kama chapter
Fanya for the numbers mi naifanya for the culture
Mwiba unajidunga utadhani aki u puncture
Riba mtaani mi ndio pinji wa majanta

Mongo iko na bars ka Kamiti 
Ziko tifi na ni mbichi kimajani ka uko ndani unanikanja
Naishingi ki Ras Kiriamiti chini ya maji
We ni shabiki unahate na unashinda ukinitaja

Cheki kuomoka bila sponyo benefactor
Cheki hio glow pale Insta for in after
Cheki cheki ujimotivate na mangoko backstage
Wanasuka bouncer in recording chapter

Buda cheki dreams, buda cheki vision
Nyi mnacheki stream mi niko on a mission
Pull up in a scene get the money repetition
Siko hapa for the moment kuchachisha for a season

Cheki buda nina scheme, strategy precision
Cheki kwenye screen, cheki execution
Na si tafadhali haki yangu no permission
Na sibishi wakikwara ninavunja kwa lazima
Keep sleeping on me

Zooby zooby zooby zoo, wamezubaa
Zooby zooby zooby zoo

Tunakafunga wacha walale
Wamekaokota tuko mboka magizani
Hustle ni lowkey rada ka wochi
Wamezubaa, si tuko kazi

[Fena Gitu]
A living legend am talking Young E Sir
I pray you live forever uishi maisha kama tisa
Kijana paka power kijana anatisha
We live to see the day he reincarnated na mizani
Yaani toka zile enzi tulikosanga mapesa 
Tuskume mabenzo tugonye matesla
Zoomy zoo, wakikuuliza nanyamazisha
Tell'em we the best and we got the sauce
You know how we do

Zooby zooby zooby zoo, wamezubaa
Zooby zooby zooby zoo

Tunakafunga wacha walale
Wamekaokota tuko mboka magizani
Hustle ni lowkey rada ka wochi
Wamezubaa, si tuko kazi

[Bon'eye]
Mboka za mauta mbogi master
Shida za manyaru selektako hapa
Under waba nilipanga wote kuwateka
Rada ka Omwami magizani kwa petty
Wazing na warazi wanatii
Steady na a crew, ujuzi kibazuu
Pupa niliachia 
Kiki mingi za Nasibu Mondi
Dera bila haga ni ka boti mamii
Vile fame bila kitu issa scam mamii
Kama ni money yaani ga town
Vibes in the air na zingine kwa gbag

Hii hapa bidii na maombi hakuna kismat
Pigwa maviding na makombi unacheki zigzag
Sitback nyi ni masoshi mnatafuta six pack
Lean back uskie kijana vile anaspit fast eeh

Zooby zooby zooby zoo, wamezubaa
Zooby zooby zooby zoo, wamezubaa

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Son of The City (EP)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

TRIO MIO

Kenya

Trio Mio real name TJ Mario Kasela also known as T.J (Thank you Jesus) or "Mkurugenzi ...

YOU MAY ALSO LIKE