Accueil Recherche Pays Albums

We Shall Overcome Lyrics


Tumaini yote yatapita
Usiku gizani, mchana itafika
We shall overcome (Ndio maanake)
We will overcome 

Kuna matumaini yote yatapita
Usiku gizani, mchana itafika
We shall overcome 
We will overcome 

And all we going through
Jipe moyo
Tough times become at night
Joy comes in the morning

Shikilia tu
Jikaze wewe
Utasonga juu
Mungu yupo nawe

Najua hali ni ngumu si siri sitakataa
Leo kuna giza kesho kutawaka taa
Shida zote ni ka candle zipe time zitakwisha
Form ni kuwa strong manze acha kuhuzunika

Baada ya dhiki faraja, pamoja tutavuka daraja
It's just a matter if time si siri siku njema inakuja
Kweli we ni wa maana tena wewe ni wa power
At the end of the tunnel manze tutaona mwangaza

Tumaini yote yatapita
Usiku gizani, mchana itafika
We shall overcome
We will overcome 

Hardtimes define a real soldier
Si ni mashujaa na bado tuko kimoja
Usikufe moyo mashida zinapotusonga
Changamoto kibao lakini bado twasonga

So don't worry hii vita tutashinda
Maisha ni safari ni kupanda na kushuka
After ever tears kuna hope tabasamu
Mipango za Mungu usilinganishe mwanadamu

Tumaini yote yatapita
Usiku gizani, mchana itafika
We shall overcome 
We will overcome 

Kuna matumaini yote yatapita
Usiku gizani, mchana itafika
We shall overcome 
We will overcome 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : We Shall Overcome (Album)


Copyright : (c) 2020 Made in Kibera.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

STIVO SIMPLE BOY

Kenya

Stivo Simple Boy real name 'Stephen Otieno' ( born in 1990 in Oyugis, Homabay County)&n ...

YOU MAY ALSO LIKE