Wewe ni Mkuu Lyrics
Umevikwa Utukufu
Na heshima ni zako
Enzi yako, na mamlaka
Zinadumu milele
Nitakiri, kwa kinywa changu
Kwamba wewe ni Mungu mkuu
Viumbe vyote, Vikushukuru
Vikisema wewe ni Mkuu
Hakika, wewe ni Mungu
Umetenda, maajabu
Umejaa, hekima na rehema
Hakika wewe ni mkuu
Khalvari, kasulubiwa, ili mimi niishi
Dhambi zangu, kazisafisha
Sasa mimi ni huru
Kwako wewe, nitasimama
Mwamba imara asiyeshindwa
Mwili wangu, na nafsi yangu
Maisha yangu, natoa kwako
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Wewe ni Mkuu (Single)
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
SOUNDS OF WORSHIP
Kenya
Sounds of Worship a été fondée en 2014 et comprend environ 25 chanteurs et inst ...
YOU MAY ALSO LIKE