Home Search Countries Albums

Hasara

RJ THE DJ Feat. ZUCHU

Hasara Lyrics


Mi staki tuongee 
Moyoni nina machungu machungu
Sije tenda dhambi mmmh

Ila chozi la mnyonge 
Malipo ni kwa Mungu kwa Mungu
Bora nihame kambi mmmh

Kama subira ina mwisho
Ina mwisho wake maana
Asali umeimaliza mzinga
Ukanifanya tahira

Suluhisho nimeona kwako hamna
Moyo wangu si wa mnina
Najitua

Tunangombana kwa vitu vidogo
Kosa si kosa unageuka mbogo
Huna dogo wewe

Hunipendi unang'onga kisogo
Punda siendi eti bila magongo
Mpenda zogo wewe

Kukupenda tena staki!
Nimekoma staki!
Kukuona staki!

Narudia tena staki!
Kukuona staki!
Nimekoma staki!

Bora nihesabu
Kwa penzi nimepata 
Hasara aah, hasara aah
Hasara, hasara 

Hasara ya roho
Penzi imekwenda zake
Hasara aah, hasara aah
Hasara, hasara 

Kina cha maji matitukana
Cha mila boya nijifie
Kosa langu nini?

Mchana naonaga usiku
Nachacha nyie maumivu niyasikie
Yasiwakute nyi.. iii

Na kama albadiri
Ya bayana umeniumbua
Umeniadhiri 
Umeniacha mnyama na nguo umenivua

Kukupenda tena staki!
Nimekoma staki!
Kukuona staki!

Narudia tena staki!
Kukuona staki!
Nimekoma staki!

Heee! Bora nihesabu tu
Kama nimepata 
Hasara aah, hasara aah
Hasara, hasara 

Hasara ya roho
Penzi imekwenda zake
Hasara aah, hasara aah
Hasara, hasara 

Haa, haa, haa...
Bora mi nibaki nalia
Haa, haa, haa...mmmh

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Changes Album (Album)


Copyright : (c) 2020 WCB Wasafi


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

RJ THE DJ

Tanzania

Romy Jones aka Rj The Dj  is an artist, WCB vice president, Diamond Platnumz official Dj/ Wasaf ...

YOU MAY ALSO LIKE