Lala Lyrics

Lala la, lala lala
Lala la, lala lala
(It's S2kizzy Beiby)
Nawaza usingetokea ningeongea nini leo? (Aah)
Bila ya penzi lako ningeenjoy nini leo? (Aah)
Imekuwa bora alivyopotea ukatokea wewe leo
Tena bila huruma yako ningetamba wapi leo? (Aah)
Kwenye baridi
Nikukumbate upate joto
Twende kwa bibi
Atupe baraka tuzae watoto
Ngozi laini mtoto soap soap
Tumbo la kuvalia crop top
Vanessa wa nini? we don't talk talk
Sitaki shobo nisha block block (Iyee)
Lala la, lala lala
Lala kifuani mmh
Lala la, lala lala
Kichuna lala usinzie
Lala la, lala lala
Nibembeleze nikuimbie
Lala la, lala lala
La la la..la la la
Nikimuita sukari ananiita asali
Lamba lamba pipi
Kuku mwenye kidari, shepu ngangari
La kuvunja kiti
Fundi fundi kamba
Za upendo wake kunibeba kwenda juu
Wakimponda saa
Hawajui ndo nazidi kumpenda tu
Usiku kwenye kimvua mvua, tukivua vua
Sema hata ajilaze kwenye kifua
Unanijua jua, nakujua jua
Masaji ya mafuta nikikuchua
Ngozi laini mtoto soap soap
Tumbo la kuvalia crop top
Fahima wa nini? we don't talk talk
Sitaki shobo nisha block block
Lala la, lala lala
Lala kifuani mmh
Lala la, lala lala
Kichuna lala usinzie
Lala la, lala lala
Nibembeleze nikuimbie
Lala la, lala lala
La la la..la la la
Lala la, lala lala
Lala kifuani mmh
Lala la, lala lala
Kichuna lala usinzie
Lala la, lala lala
Nibembeleze nikuimbie
Lala la, lala lala
La la la..la la la
(Wasafi)
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Sound from Africa (Album)
Copyright : © 2021 WCB Wasafi
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
RAYVANNY
Tanzania
Raymond Shaban Mwakyusa (born 22 August 1993), better known by his stage name Rayvanny, is a Tanzani ...
YOU MAY ALSO LIKE