Accueil Recherche Pays Albums
Read fr Translation

Wangu Lyrics


Hee mmmh Sanaipei, Nadia
(Alexis on the beat)

Wewe nani? 
Unanipigia simu kama nani?
Eti niachane mume wako nani? 
Unajua Nadia kweli mi ni nani? 
 
We ni nani?
Unampigia simu kama nani eeh
Ata utoe vya ndani
Atarudi hapa kwangu tu nyumbani eeh

Anapenda vidogodogo
Mwenzako anavimumunya (Munya)
Mwanamke unapenda zogo
Tafuta jambo hilo la kufanya (Fanya)
 
Oooh ni wangu
Huyu anasema ni wangu 
Oooh ni wangu
Kubali yaishe ni wangu

Oooh ni wangu
Huyu anasema ni wangu
Oooh ni wangu
Mwishowe yataisha ni wangu
 
Hivyo vimessage na kuficha simu
Havinishtui (Uuuiii)
Atachoka nawe
Kwengine aende, yule hakagui (Uuuiii)

Kelele ya chura
Haizui ng'ombe kunywa maji
Kwangu habanduki, kwako hatoboki
Nakwama naye!

Anapenda wife material
Mwenzako anakudanganya (Danganya)
Mwanamke una kasoro 
Tafuta jambo hilo la kufanya (Kufanya)
 
Oooh ni wangu
Huyu anasema ni wangu
Oooh ni wangu
Mwishowe yataisha ni wangu

Oooh ni wangu
Huyu anasema ni wangu 
Oooh ni wangu
Kubali yaishe ni wangu

Mi sitakoma, koma, koma, koma 
Mi sitakoma koma koma mama ye
Ntakukomoa komoa komoa komoa 
Ntakukomoa komoa komoa msichana we

Oooh ni wangu
Huyu anasema ni wangu
Oooh ni wangu
Mwishowe yataisha ni wangu

Oooh ni wangu
Huyu anasema ni wangu 
Oooh ni wangu
Kubali yaishe ni wangu

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : African Popstar (EP)


Copyright : (c) 2020 Sevens Creative Hub


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

NADIA MUKAMI

Kenya

Nadia Mukami Mwendo est une artiste chanteuse kenyane. ...

YOU MAY ALSO LIKE