Home Search Countries Albums

Pombe Na Kizungu Mingi

MATATA Feat. BENSOUL, NVIIRI THE STORYTELLER

Pombe Na Kizungu Mingi Lyrics


Hata mzine taa, bado tutawasha
Hata mfunge bar, bado ni tamasha
Hata mfiche ng’aa, ng’o katapanda
Juu ya kegi ma ketepa, mmh na maganja
Bado unataka beer, eeh nipe beer
Bado unataka beer, buda nipe beer
Bado unataka beer, argh nipe beer
Utaenda kulipia

Pombe na kizumgu mingi
Pombe na kizumgu mingi
Pombe na kizumgu mingi aah
Am so fantabulous
Pombe na kizumgu mingi
Pombe na kizumgu mingi
Pombe na kizumgu mingi aah
Braggadocious

Pea huyu beer, na umpee bill pia
Hii ya leo nayo ni lazima atalipia
Unapiga munju beer, kwani uko in love pia
Mi ni charity, we ushaiskia
Nishai kutusi mimi, kwani nishakutusi pia
Ushai kunywa beer ukaanza kulia
Ni kama johnte kuna vitu anapitia
Ndunge zake mbill, n’nitalipia
Leo ni sato, ama Sunday
Juu tulianza kukkunywa on a Monday
Kila siku inakuwanga sherehe
Imefanya mimi na bibi tukosane
Pombe ya kisirani
Tulikunywa tukalala barabarani
Huyu ako kwa kitanda yangu ni nani
Ama ni bibi ya jirani
Bado unataka beer, eeh nipe beer
Bado unataka beer, buda nipe beer
Bado unataka beer, argh nipe beer
Utaenda kulipia

Pombe na kizumgu mingi
Pombe na kizumgu mingi
Pombe na kizumgu mingi aah
Am so fantabulous
Pombe na kizumgu mingi
Pombe na kizumgu mingi
Pombe na kizumgu mingi aah
Braggadocious

Venye niko maji naona ni ka we ndo nadal
Niko na ganji, na connections you guy, my guy
Nina ma tender, na mavela mi ndio supply
Bonga na waiter, ataleta please don’t be shy aaah
Pombe ya Sunday, taamu sana
Pombe ya Monday, chunga baana
Pombe ya saare, ni swara sana
Ya kuchanganya , aaah blaanda bana
All you can drink we don’t do, take away
Mfuko size ya, biligates
Kizungu ya ku parambulate
Can you relate?
Monday ni kama Saturday
Birthday ni public holiday
Nitawacha pombe, nitawacha pombe
But not today
Hata mzine taa, bado tutawasha
Hata mfunge bar, bado ni tamasha
Hata mfiche ng’aa, ng’o katapanda
Juu ya kegi ma ketepa, mmh na maganja
Bado unataka beer, eeh nipe beer
Bado unataka beer, buda nipe beer
Bado unataka beer, argh nipe beer
Utaenda kulipia

Pombe na kizumgu mingi
Pombe na kizumgu mingi
Pombe na kizumgu mingi aah
Am so fantabulous
Pombe na kizumgu mingi
Pombe na kizumgu mingi
Pombe na kizumgu mingi aah
Braggadocious

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Pombe Na Kizungu Mingi (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

MATATA

Kenya

Matata is a group of dancers/artist from Kenya. ...

YOU MAY ALSO LIKE