Home Search Countries Albums

Noma Lyrics


Kutimba timba na genge
Mamba wengi usije na kenge
Kupendeza hata vitenge
Kwenye kijiji haturuki mwenge

Si watoto wa ghetto kutaka
Ukitolewa beto acha kung'aka
Huku mkwara usichimbe
Uwe na namba zikukinge

Tunaruka kopa kwetu everyday
Noma, enjoy noma
Enjoy noma
It's normal life, issa weekend

Ka si noma ni noma sana
Na hio nyama si umechoma sana
Kwani we Tanasha unadona sana
Dj cheza ngoma unabonga sana

Si kila te shot, tunajisunda ka ndimu
Hakuna sport tunaingia ka simcard kwa simu
Mi si Benzema lakini mi mkarimu
Ulizia king kaka mwalimu

Ukikaa kaa kwa baba ba
Utapapa pata dada
Akikupa basi papakata
Chunga ba basata

Tunaruka kopa kwetu everyday
Noma, enjoy noma, enjoy noma
Tunaruka kopa kwetu everyday
Noma, enjoy noma, enjoy noma

Ka si noma ni noma sana
Na hio nyama si umechoma sana
Kwani we Tanasha unadona sana
Dj cheza ngoma unabonga sana

Tuko Moshi tumedunga moschino
Na masilver zimejaa kwa jino
Na watoto macho filipino
Nipe yote mami no kipimo

Wiki yote nimesaka bread
Sasa ni kusaka pedi
Baby basi shake your legi
Alafu chunga swara za mavedi

Tunaruka kopa kwetu everyday
Noma, enjoy noma, enjoy noma
Tunaruka kopa kwetu everyday
Noma, enjoy noma, enjoy noma

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Happy Hour (EP)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

KING KAKA

Kenya

King Kaka born as Kennedy Tarriq Ombima in Eastlands Nairobi Kenya, is an Hip Hop Artiste from Kenya ...

YOU MAY ALSO LIKE