Home Search Countries Albums

Kuzitoka

KING KAKA

Kuzitoka Lyrics


Kuzitoka tu, kuzitoka tu
Mdogo kuzitoka

King kaka yuko area
Leo ni mafilo ka Kimemia
Haujaambiwa vitu unaweza weza
Nina bongo ebu skiza mafleva

Mavela zimesundwa kwa shisha
Na whites tunaficha na mashishio
Ni kucheka tu kindani 
Eastlando table manners ya kilami

Sikujui but jirani atakujua
Mtu ndio kitu utagundua
Uwongo niliwachia govermenta
Shots tu nikikumarineta

Aiya, aiya, aiyayaya kuzitoka tu
Aiya, aiyayaya kuzitoka tu
Aiya, aiyayaya kuzitoka tu
Aiya, aiyayaya kuzitoka tu

Uweke check juu ya meza
Wiki mzima nishapiga wera
Kwanza ni beef juu ya sima
Mama pima mbona unanipima

Na ikiisha jaza mara twice
Hii fame hukam na price
Unanidrive crazy
But mah please don't drink and drive

Jasho idunde kesi baadae
Haya usiwashe fegi kwa ndae
Uko maji mabend over
Chipo niaje, oi ma left over 

Aiya, aiya, aiyayaya kuzitoka tu
Aiya, aiyayaya kuzitoka tu
Aiya, aiyayaya kuzitoka tu
Aiya, aiyayaya kuzitoka tu

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Happy Hour (EP)


Copyright : (c) 2021 Kaka Empire.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

KING KAKA

Kenya

King Kaka born as Kennedy Tarriq Ombima in Eastlands Nairobi Kenya, is an Hip Hop Artiste from Kenya ...

YOU MAY ALSO LIKE