Kuzitoka Lyrics

Kuzitoka tu, kuzitoka tu
Mdogo kuzitoka
King kaka yuko area
Leo ni mafilo ka Kimemia
Haujaambiwa vitu unaweza weza
Nina bongo ebu skiza mafleva
Mavela zimesundwa kwa shisha
Na whites tunaficha na mashishio
Ni kucheka tu kindani
Eastlando table manners ya kilami
Sikujui but jirani atakujua
Mtu ndio kitu utagundua
Uwongo niliwachia govermenta
Shots tu nikikumarineta
Aiya, aiya, aiyayaya kuzitoka tu
Aiya, aiyayaya kuzitoka tu
Aiya, aiyayaya kuzitoka tu
Aiya, aiyayaya kuzitoka tu
Uweke check juu ya meza
Wiki mzima nishapiga wera
Kwanza ni beef juu ya sima
Mama pima mbona unanipima
Na ikiisha jaza mara twice
Hii fame hukam na price
Unanidrive crazy
But mah please don't drink and drive
Jasho idunde kesi baadae
Haya usiwashe fegi kwa ndae
Uko maji mabend over
Chipo niaje, oi ma left over
Aiya, aiya, aiyayaya kuzitoka tu
Aiya, aiyayaya kuzitoka tu
Aiya, aiyayaya kuzitoka tu
Aiya, aiyayaya kuzitoka tu
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Happy Hour (EP)
Copyright : (c) 2021 Kaka Empire.
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
KING KAKA
Kenya
King Kaka born as Kennedy Tarriq Ombima in Eastlands Nairobi Kenya, is an Hip Hop Artiste from Kenya ...
YOU MAY ALSO LIKE