Home Search Countries Albums

Bundah

KING KAKA

Bundah Lyrics


Nani ana pesa zangu anilipe ASAP
Leo ni Friday lazima kutesa
Remy kweny ice sitaki kapresha
Si tunavibe eh, two times five

Walenje na makilo
Leo nakuchota
Eastlando kuna shida ya maji 
Leo nakuchota

Ati kerea, ati kerea
Ati kerea nyama wekelea
Dancefloor lit eeeh hadi teketea
Suti designer hebu icheki --
Enjoy ngoma message iko kwa email
Meza yangu ni mimi pekee na ma female

Bundah, bundah, bundah
Inafanya long'i inadunda
Bundah, bundah, bundah
Inafanya long'i inadunda

Bundah, bundah, bundah
Inafanya long'i inadunda
Bundah, bundah, bundah
Inafanya long'i inadunda

Haujaskia lugha bado ni currency
Na ninabonga pesa sana currently
Mbogi ni wawesh yaani wajanja
Niko na waresh yaani mabanja

Zimewashika yoh yaani maganja
Haunipendi guess ni personal issue
Na nabonga mbaya 
Unahitaji personal tissue

Milan waru ni expe nitoke my people
Tupitie Sanford vile nakuchipo
You now rocking Mr CEO
Tangu nipate si Kaka amechage? 
My friend ata pesa yenyewe imechange

Bundah, bundah, bundah
Inafanya long'i inadunda
Bundah, bundah, bundah
Inafanya long'i inadunda

Bundah, bundah, bundah
Inafanya long'i inadunda
Bundah, bundah, bundah
Inafanya long'i inadunda

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : The Servant & The King Mixtape / Bundah (Album)


Copyright : (c) 2020 Kaka Empire.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

KING KAKA

Kenya

King Kaka born as Kennedy Tarriq Ombima in Eastlands Nairobi Kenya, is an Hip Hop Artiste from Kenya ...

YOU MAY ALSO LIKE