Home Search Countries Albums

Ponky Lyrics


Pickie pickie picki ponky
Nabeba wote combi
Na kwa mtaa wametii
Niko juu kama nyora fosi 

Pickie pickie picki ponky
Nabeba wote combi
Na kwa mtaa wametii
Niko juu kama nyora fosi 

Ngaji iko sawa, siishi vibaya
Suti ni ya pawa, mahits ka kawa
Sushi kejani na chef, ngoja ucheki my shower
Mi huitwa everready, namuita paka power

Nimejaziwa kikombe
Manze na sioni compe
Mashori kwa box ka Conje
Mwenye wivu monkey wajinyonge

Ganji ni bei, mbogi pamoja
Kenye nasay hakuna kitu nakosa 

Pickie pickie picki ponky
Nabeba wote combi
Na kwa mtaa wametii
Niko juu kama nyora fosi 

Pickie pickie picki ponky
Nabeba wote combi
Na kwa mtaa wametii
Niko juu kama nyora fosi 

Kuna dem nampenda Whatsapps nimelenga
Hii ni mistari za CEO sinanga time kutext back
Nairobi kwa bega kinyozi wa mine anaweza
Sileti kiti kote ball meza nishaijenga

Hamnitishi hamnibabaishi
Hamwezi shika form hii maisha ninayoishi
Hamwezi tokelea si mko Twitter busy
Endelea na makelele mi nitarun the city

Ganji ni bei, mbogi pamoja
Kenye nasay hakuna kitu nakosa 

Pickie pickie picki ponky
Nabeba wote combi
Na kwa mtaa wametii
Niko juu kama nyora fosi 

Pickie pickie picki ponky
Nabeba wote combi
Na kwa mtaa wametii
Niko juu kama nyora fosi 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Ponky (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

KAGWE MUNGAI

Kenya

...

YOU MAY ALSO LIKE