Ponky Lyrics
Pickie pickie picki ponky
Nabeba wote combi
Na kwa mtaa wametii
Niko juu kama nyora fosi
Pickie pickie picki ponky
Nabeba wote combi
Na kwa mtaa wametii
Niko juu kama nyora fosi
Ngaji iko sawa, siishi vibaya
Suti ni ya pawa, mahits ka kawa
Sushi kejani na chef, ngoja ucheki my shower
Mi huitwa everready, namuita paka power
Nimejaziwa kikombe
Manze na sioni compe
Mashori kwa box ka Conje
Mwenye wivu monkey wajinyonge
Ganji ni bei, mbogi pamoja
Kenye nasay hakuna kitu nakosa
Pickie pickie picki ponky
Nabeba wote combi
Na kwa mtaa wametii
Niko juu kama nyora fosi
Pickie pickie picki ponky
Nabeba wote combi
Na kwa mtaa wametii
Niko juu kama nyora fosi
Kuna dem nampenda Whatsapps nimelenga
Hii ni mistari za CEO sinanga time kutext back
Nairobi kwa bega kinyozi wa mine anaweza
Sileti kiti kote ball meza nishaijenga
Hamnitishi hamnibabaishi
Hamwezi shika form hii maisha ninayoishi
Hamwezi tokelea si mko Twitter busy
Endelea na makelele mi nitarun the city
Ganji ni bei, mbogi pamoja
Kenye nasay hakuna kitu nakosa
Pickie pickie picki ponky
Nabeba wote combi
Na kwa mtaa wametii
Niko juu kama nyora fosi
Pickie pickie picki ponky
Nabeba wote combi
Na kwa mtaa wametii
Niko juu kama nyora fosi
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Ponky (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE