Home Search Countries Albums
Read en Translation

Yanitosha Lyrics


Nimesulubiwa nae, lakini mi niko hai

Si mimi tena, Kristo ndani yangu

Nitajisifia udhaifu wangu, kwa furaha nyingi

Ili uweza wake ukae juu yangu

Yote nitendayo ni kwa imani

Sitaibatili neema ya Mungu kamwe

Yanitosha neema ya mungu

Ndio uzima kuyatambuwa

Kwenye mapungufu yangu

Ndipo nguvu zake Zatiimiya

Kwenye mapungufu yangu

Ndipo nguvu zake Zatiimiya

Sio mimi Tena, Christo Ndani yangu

Hayo Yanitosha

Sio mimi Tena, Christo Ndani yangu

Hayo Yanitosha

Sio mimi Tena, Christo Ndani yangu

Hayo Yanitosha

Yanitosha neema ya mungu

Ndio uzima kuyatambuwa

Kwenye mapungufu yangu

Ndipo nguvu zake Zatiimiya

Kwenye mapungufu yangu

Ndipo nguvu zake Zatiimiya

Sio mimi Tena, Christo Ndani yangu

Hayo Yanitosha

Sio mimi Tena, Christo Ndani yangu

Hayo Yanitosha

Sio mimi Tena, Christo Ndani yangu

Hayo Yanitosha

Sio mimi Tena, Christo Ndani yangu

Hayo Yanitosha

Sio mimi Tena, Christo Ndani yangu

Hayo Yanitosha

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2024


Album : (Single)


Copyright : ©12stonesRecord


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

ISRAEL MBONYI

Rwanda

ISRAËL MBONYI born ISRAËL MBONYICYAMBU on  May 20th 1992 in the Southern province of ...

YOU MAY ALSO LIKE