Home Search Countries Albums

My Queen

IBRAAH

My Queen Lyrics


You are my queen
Nimekupa moyo wangu uutunze
Safari
Ukiniacha sina raha hata punje

Maana, midunia inachanganya changanya
Hususan mapenzi mama
Mambo ya kushare hayana maana
Mama mama

Mara ushikwe kule, uteseke
Mara ushikwe pale, unyanyaswe

Unavyochezaga mama ma
Raha napataga kwa sana na
Unavyokataga mama 
Utamu nasikiaga kwa sana
Unavyochezaga mama

Kigoma, Mtwara ulindi
Mtwara tukamwone bibi
Tukale futari ama gimbi
Ushanidindindi kwako zaidi ya pimbi

You please don't go hey
Unanipa raha anytime
You please don't go hey
Unanipa raha you are mine

Sio wachalizo wa Tabata
Unanipa ile kitu nataka
Mtoto hizo lips matata
Ushanikamata wazushi watafyata

Unavyochezaga mama ma
Raha napataga kwa sana na
Unavyokataga mama 
Utamu nasikiaga kwa sana
Unavyochezaga mama

Nimekubali we ni noma
Na mapaka shume wataisoma
Watafurahi wakikuona baba na mama

Nimekubali we ni noma
Na mapaka shume wataisoma
Maana kilometa akikuona
Atafanya bonge la sherehe

Unavyochezaga mama ma
Raha napataga kwa sana na
Unavyokataga mama 
Utamu nasikiaga kwa sana
Unavyochezaga mama

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2018


Album : My Queen


Copyright : (c) 2020 Konde Music Worldwide.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

IBRAAH

Tanzania

IBRAAH real name Ibrahim Abdallah Nampunga (born 3rd July 1998) is an artist, singer, ...

YOU MAY ALSO LIKE