Wasamehe Lyrics

Wakikutolea matusi wasamehe, wasamehe
Mungu anawaona wasamehe, wasamehe
Wakikuonyesha chuki wasamehe, wasamehe
Mungu anawaona wasamehe, wasamehe
Wanasema wasanii ni kioo cha jamii
Shetani anapasua vioo vya jamii
Ukijaribu kuenda juu unavutwa chini
Kwake ukituliza inawafaidi nini
Kikulacho ki nguoni mwako
Rafiki yako ndo adui yako
Unakula naye unalala naye kwako
Akitoka anasema ya kwako
Kikulacho ki nguoni mwako
Rafiki yako ndo adui yako
Unakula naye unalala naye kwako
Akitoka anasema ya kwako
Wakikutolea matusi wasamehe, wasamehe
Mungu anawaona wasamehe, wasamehe
Wakikuonyesha chuki wasamehe, wasamehe
Mungu anawaona wasamehe, wasamehe
-----
Victor Rude Boy
-----
Wakikutolea matusi wasamehe, wasamehe
Mungu anawaona wasamehe, wasamehe
Wakikuonyesha chuki wasamehe, wasamehe
Mungu anawaona wasamehe, wasamehe
Wakikutolea matusi wasamehe, wasamehe
Mungu anawaona wasamehe, wasamehe
Wakikuonyesha chuki wasamehe, wasamehe
Mungu anawaona wasamehe, wasamehe
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Wasamehe (Single)
Copyright : (c) 2021 7 Heaven Music
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
GUARDIAN ANGEL
Kenya
Audiphaxad Peter, better known as Guardian Angel, is a Gospel afrorap and dancehall singer and Songw ...
YOU MAY ALSO LIKE