Tunakuinua Lyrics
Tunakuinua juu
Wewe ni Bwana wa mabwana Yesu wee
Tunakuinua juu Yesu wee
Tunakuinua juu
Wewe ni Bwana wa mabwana Yesu wee
Tunakuinua juu Yesu wee
Duniani na mbinguni we ndo bwana wa mabwana
Alpha na Omega we ndo mwanzo tena mwisho
Ndani ya maisha yangu
Bwana we unatawala
Tumakuinua juu
Kwa hali ngumu na kwa magonjwa
Tunakuinua Baba wewe peke yako
Kwa hali ngumu na kwa magonjwa
Tunakuinua Baba wewe peke yako
Tunakuinua juu
Wewe ni Bwana wa mabwana Yesu wee
Tunakuinua juu Yesu wee
Tunakuinua juu
Wewe ni Bwana wa mabwana Yesu wee
Tunakuinua juu Yesu wee
Malaika Mbinguni wanakuinamia wewe Yesu
Na sisi duniani tunakuinua juu
Wewe ni maji ya uzima
Unatuliza kiu yangu Yesu
Tena mkate wa uzima unashibisha
Haja za moyo wangu Bwana
Simba wa kabila la Yudah
Unapigana vita vya wana wako eee
Daktari wa madaktari
Unaponya magonjwa yote bwana oo
Wewe ni maji ya uzima
Unatuliza kiu yangu Yesu
Tena mkate wa uzima unashibisha
Haja za moyo wangu Bwana
Simba wa kabila la Yudah
Tunakuinua juu
Wewe ni Bwana wa mabwana Yesu wee
Tunakuinua juu Yesu wee
Tunakuinua juu
Wewe ni Bwana wa mabwana Yesu wee
Tunakuinua juu Yesu wee
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Tunakuinua (Single)
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
GUARDIAN ANGEL
Kenya
Audiphaxad Peter, better known as Guardian Angel, is a Gospel afrorap and dancehall singer and Songw ...
YOU MAY ALSO LIKE