Home Search Countries Albums

Tunakuinua

GUARDIAN ANGEL Feat. ABEL

Tunakuinua Lyrics


Tunakuinua juu
Wewe ni Bwana wa mabwana Yesu wee
Tunakuinua juu Yesu wee

Tunakuinua juu
Wewe ni Bwana wa mabwana Yesu wee
Tunakuinua juu Yesu wee

Duniani na mbinguni we ndo bwana wa mabwana
Alpha na Omega we ndo mwanzo tena mwisho
Ndani ya maisha yangu 
Bwana we unatawala

Tumakuinua juu
Kwa hali ngumu na kwa magonjwa
Tunakuinua Baba wewe peke yako
Kwa hali ngumu na kwa magonjwa
Tunakuinua Baba wewe peke yako

Tunakuinua juu
Wewe ni Bwana wa mabwana Yesu wee
Tunakuinua juu Yesu wee

Tunakuinua juu
Wewe ni Bwana wa mabwana Yesu wee
Tunakuinua juu Yesu wee

Malaika Mbinguni wanakuinamia wewe Yesu
Na sisi duniani tunakuinua juu
Wewe ni maji ya uzima 
Unatuliza kiu yangu Yesu

Tena mkate wa uzima unashibisha 
Haja za moyo wangu Bwana
Simba wa kabila la Yudah
Unapigana vita vya wana wako eee
Daktari wa madaktari
Unaponya magonjwa yote bwana oo

Wewe ni maji ya uzima 
Unatuliza kiu yangu Yesu
Tena mkate wa uzima unashibisha 
Haja za moyo wangu Bwana
Simba wa kabila la Yudah

Tunakuinua juu
Wewe ni Bwana wa mabwana Yesu wee
Tunakuinua juu Yesu wee

Tunakuinua juu
Wewe ni Bwana wa mabwana Yesu wee
Tunakuinua juu Yesu wee

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Tunakuinua (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

GUARDIAN ANGEL

Kenya

Audiphaxad Peter, better known as Guardian Angel, is a Gospel afrorap and dancehall singer and Songw ...

YOU MAY ALSO LIKE