Home Search Countries Albums

Nipandishe

GUARDIAN ANGEL

Nipandishe Lyrics


Mbiu uya migambo ikilia kuna jambo
Nami nalia kwasababu nina jambo
Hali ya dunia inanionyesha mambo
Njoo tembea nami hapa kando

Ee mkono wako unafikia watu kila sehemu
Naomba Bwana uje unirehemu
Uje unirehemu hii milima Yesu nipandishe

Eee Bwana uniinue
Kwa imani nisimame
Nipande milima yote
Ee Bwana unipandishe

Eee Bwana uniinue
Kwa imani nisimame
Nipande milima yote
Ee Bwana unipandishe

Ee mkono wako unafika kila pande bwana
Unafika kila sehemu
Unabadilisha maisha ya kila binadamu bwana
Machali na mademu

Wale wamegive up kwa love na wanakuhitaji Bwana
Najua utawarehemu
Wahisi maisha yao yako same
Ila bwana uwabadilishe

Eee Bwana uniinue
Kwa imani nisimame
Nipande milima yote
Ee Bwana unipandishe

Eee Bwana uniinue
Kwa imani nisimame
Nipande milima yote
Ee Bwana unipandishe

Mbele nina endelea
Ninazidi kutembea
Maombi uyasikie
Ee Bwana unipandishe 

Eee Bwana uniinue
Kwa imani nisimame
Nipande milima yote
Ee Bwana unipandishe

Eee Bwana uniinue
Kwa imani nisimame
Nipande milima yote
Ee Bwana unipandishe

Ukinipandisha mi nakuahidi
Nitafanya, fanya kazi fanya
Fanya kazi fanya, kazi ya Bwana
Nitafanya, fanya kazi fanya
Fanya kazi fanya, kazi ya Bwana

Ukiniinua mimi nita
Nitafanya, fanya kazi fanya
Fanya kazi fanya, kazi ya bwana
Nitafanya, fanya kazi fanya
Fanya kazi fanya, kazi ya bwana

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Nipandishe (Single)


Copyright : (c) 2021 7 Heaven Music


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

GUARDIAN ANGEL

Kenya

Audiphaxad Peter, better known as Guardian Angel, is a Gospel afrorap and dancehall singer and Songw ...

YOU MAY ALSO LIKE