Kijito Lyrics

Kijito cha utakaso ni damu ya Yesu
Bwana ana u-uwezo kunipa wokovu
Kijito cha utakaso ni damu ya Yesu
Bwana ana u-uwezo kunipa wokovu
Kijito cha utakaso
Nizame kuoshwa umbo
Na msifu bwana
Kwa hiyo nimepata utakaso
Kijito cha utakaso
Nizame kuoshwa umbo
Na msifu bwana
Kwa hiyo nimepata utakaso
Viumbe vina
Naona damu ina nguvu
Imeharibu uovu
Uliyotudhuru
Kijito cha utakaso
Nizame kuoshwa umbo
Na msifu bwana
Kwa hiyo nimepata utakaso
Kijito cha utakaso
Nizame kuoshwa umbo
Na msifu bwana
Kwa hiyo nimepata utakaso
Nipe wema ya ajabu
Kubwa kwa wanadamu
Na Bwana Yesu
Kumjua Yesu wa msalaba
Kijito cha utakaso
Nizame kuoshwa umbo
Na msifu bwana
Kwa hiyo nimepata utakaso
Kijito cha utakaso
Nizame kuoshwa umbo
Na msifu bwana
Kwa hiyo nimepata utakaso
Kijito cha utakaso
Nizame kuoshwa umbo
Na msifu bwana
Kwa hiyo nimepata utakaso
Kijito cha utakaso
Nizame kuoshwa umbo
Na msifu bwana
Kwa hiyo nimepata utakaso
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Kijito (Single)
Copyright : (c) 2020 7 Heaven Music.
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
GUARDIAN ANGEL
Kenya
Audiphaxad Peter, better known as Guardian Angel, is a Gospel afrorap and dancehall singer and Songw ...
YOU MAY ALSO LIKE