Home Search Countries Albums

Pandana (Remix)

ETHIC Feat. OCHUNGULO FAMILY

Pandana (Remix) Lyrics


Ethic ft Ochungulo family - Pandana Remix

Remix
Alafu mbona jo unatapika na bado hujashiba
Haya basi funguka kama Casina
Mi huskumanga masaa si madakika
Na ka amechapa nitachapanga makalifat

Hizi dhambi nitaziosha ndani ya kanisa
Hapa kazi ni kupeananga mamimba, 
Ju nakutakanga, ju nadai, ukidai tunapandana
Ngoja kwanza nikuonyeshe bana

Banana, mi nayo bas 
Tunabakana, hapo nyuma na sidika 
Mnafanana, maana kila day bana 
Unaitangaza, katangaze basi baby

Si hupandana, panda panda
Si hupandana, katangaze basi baby
Si hupandana, panda panda 
Si hupandana eeh

Alejandro, onyi wa ma bimbo
Zimenishika, zimenishika kama Zzero
Kila 4:20 natinga kilo
Nikiwa ombitho, napenda nginyo

Weak spot yako ni kwa shingo
Unapenda probox ama limo
Chagua moja, leo uingizwe fimbo
Na siweki tint, leo tufungue diro

Banana, mi nayo bas 
Tunabakana, hapo nyuma na sidika 
Mnafanana, maana kila day bana 
Unaitangaza, katangaze basi baby

Si hupandana, panda panda
Si hupandana, katangaze basi baby
Si hupandana, panda panda 
Si hupandana eeh

Ako fegi na mandom
Wanaseti na maddam
Alafu akiwa ndani ya zone
Kutupona tu madoh, don

Ndonda anadandia ndae
Ora, ora ndon ndon
Ndonda anachangia ngwai 
Oya, oya ndon ndon
Ndonda anakazia ngwai
Oya, oya ndon ndon

Lungula, 
Pigwa mate shika diaba
Apewe chuma na 
apepetwe apakatwe

Uyu unguna, 
kakishika nikachune ka thukuma
Ai ai, aki ya Mungu nitaisukuma
Chora saba mi nadai hiyo huduma
(Hiyo huduma)

Banana, mi nayo bas 
Tunabakana, hapo nyuma na sidika 
Mnafanana, maana kila day bana 
Unaitangaza, katangaze basi baby

Si hupandana, panda panda
Si hupandana, katangaze basi baby
Si hupandana, panda panda 
Si hupandana eeh

Piga kuni akiwika design unasimamisha
Uko thutha ni manguna wamejaza tu kibuda 
Tia mimba, kalinuka juzi akitinga duka
Na akaiandaa kako doko kipara kama buka

Chambua kagua, usijipate namvua
Darua tarua, na manjiti za mathuba 
Shikisha na reggea ikubebe ka mbuda 
Msupa mauta, amejaza huko thutha

Banana, mi nayo bas 
Tunabakana, hapo nyuma na sidika 
Mnafanana, maana kila day bana 
Unaitangaza, katangaze basi baby

Si hupandana, panda panda
Si hupandana, katangaze basi baby
Si hupandana, panda panda 
Si hupandana eeh

Miti shamba nawatibu niko Loliondo
Na mifuko zikipona para za Livondo
Ndani ya bra, chini ya maji ana majirongo
Ka baloon kupuliza, ndio akajua ni condom

Zimenice niko aire na ka shuga momo 
Nilishiba na kuchibo mali za Chiromo
Oya duka wakifunga, tunafika soko
Mjulubeng nayo nayo akipiga domo

Nakapeleka mbanyu nakapiga mausoro
Naka roll-ia baruti ndani ya kikoro
Nakachuna chuna futhi vako za ogoro
Na venye kana kunyi inakaa ni kasoro

Wakiacha fudhi kwa sabuni za mokoro zao
Nawaachia mafudhi ndani ya midomo za waroro wao 
Nabakisha nyongi wakinipass izo makoro zao

Banana, mi nayo bas 
Tunabakana, hapo nyuma na sidika 
Mnafanana, maana kila day bana 
Unaitangaza, katangaze basi baby

Si hupandana, panda panda
Si hupandana, katangaze basi baby
Si hupandana, panda panda 
Si hupandana eeh

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Pandana(Remix) (Single)


Copyright : (c) 2019 Ethic Entertainment.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

ETHIC

Kenya

Ethic , ' Ethic Entertainment' is  a music Group from Kenya formed in 2018. Ethic Enter ...

YOU MAY ALSO LIKE