Home Search Countries Albums

Nakupenda

ELJA EKS

Nakupenda Lyrics


Yeah, yeah yeah yeah hmm
Elja hmm
Yango tchay yango biich (yango tchay yango biich)

Kila nikiona macho yako hoo
Nasikia moyo wangu unasema  (yeah)
Kila nikiona sula yako hooo
Nasikia moyo wangu unasema haa
Hee mama we yeah
Siku zote mi ninge penda kuwa na we
Ila moyo wangu siwezi kukuambia
Kisa nahofia kukupoteza
Urafiki wetu mama muhimu kwangu
Mama wewe haa yeah

Kila nikiona macho yako
Nasikia moyo wangu unasema ha!  (a)
Kila nikiona sula yako hoo
Nasikia moyo wangu unasema haa

Hoo
Nakupenda
Mi nakupenda
Ho nakupenda
Yeah nakupenda
Mi nakupenda
Ho nakupenda
Mi nakupenda
Ho nakupenda

Nikiona macho yako
Nakosa pumzi ya kuwema
Nakupenda jinsi sijawahi penda
Facebook insta sijawahi kuona kama wewe
We ndo furaha yangu
Maisha yangu bila wewe hayana maana
Ila moyo wangu siwezi kukuambia kisa nahofia ma
Kila nikiona sula yako hoo
Nasikia moyo wangu unasema  (a)
Kila nikiona macho yako
Nasikia moyo wangu unasema haa! Ha

Nakupenda
Ho nakupenda
Mi nakupenda ma! Ha
Nakupenda
Mi nakupenda
Ho nakupenda ayekupenda
Huwezi kukuambia
Kwa sababu anaogopa kukupoteza ma
Ila nikiona macho yako
Nakosa na pumzi mama ha! Nakosa mi
Ho nakosa mi! Hi

Kila nikiona ma ha nakupenda
Kila nikiona ma yeah nakupenda
Kila nikiona ma ma ho nakupenda
Kila nikiona ma ma macho yako

Mi nakupenda
Hoo nakupenda
Yeah nakupenda
Mimi nakupenda
Haa nakupenda
Yeah nakupenda
Yeah nakupenda
Nakupenda mama

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Nakupenda (Single)


Added By : Hds Margue

SEE ALSO

AUTHOR

ELJA EKS

Tanzania

Elja eks, Real name Eliakim Barthelemy jumba, born June 5, 2001 in Mbeya City, Tanzania, is a Tanzan ...

YOU MAY ALSO LIKE