Maua Lyrics
Mbona naona wataka kwenda
Japo nakupenda na moyo wangu
Na tena ni wapy nitaenda
Japo nakunda na roho yangu
Una macho ya Avril
Upole wa Lulu Hassan
Ukipita wakuita malaika
Sauti ya Amina
Na rangi ya Kanze Dena
Mala, mala ukipita wakuita
Malaika
Mala, mala ukipita wakuita
Malaika
Aaah, aaah, aaaah
Aaah, aaaah, aaaaah
Mbona uliniambia wataka kwenda
Japo nakupenda na moyo wangu
Na tena ni wapy nitaenda
Japo nakupenda na roho yangu
Macho yako ya Avril
Upole wa Lulu Hassan
Ukipita wakuita malaika
Sauti ya Amina
Na rangi ya Kanze Dena
Ukipita wakuita malaika
Mala, mala ukipita wakuita
Malaika
Mala, mala ukipita wakuita
Malaika
Aah, Aaah,aaaah
Aah, Aaah,aaaah
Unavyoenda safiri salama mwanangu
Unavyoenda msalimu mola mwanangu
Unavyoenda usisasahau mwanangu
Ukifika watakuita malaika
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Colours of Love (Album)
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
ELANI
Kenya
ELANI is a Kenyan music group made up of Wambui Ngugi, Maureen Kunga and Bryan Chweya. They met at t ...
YOU MAY ALSO LIKE