Home Search Countries Albums

Saida

DON SANTO

Saida Lyrics


Eh Saida niambie
Kwa nini una manga manga?
Eeh Saida niambie
Kwa nini una manga manga?
Kwa nini una manga manga?
Acha kumanga, manga daily
Kwa nini una manga manga?

There comes a time in life;
Mwanamme lazima awe na wife
Hata ujaribu kuwa na girlfriend;
Unapata umeliwa by month end
Mke wako kule nyumbani;
Utarudi kwake nyumbani
Huna budi umuoneshe mapenzi;
Uachane na wale wa kando
Sasa wewe Saida mami


Mbona unapenda kuwa chips funga?
Una watoto fogo kama mtama
Ila bado wewe wajikaranga!
Sasa wewe Saida mami
Mbona unapenda kuwa chips funga?
Una watoto fogo kama mtama;
Ila wewe bado wewe wajikaranga!

Kwa nini una manga manga?
Eh Saida! Saida mama!
Kwa nini una manga manga?
Mbona wewe mami, unamanga manga kila day?
Kwa nini una manga manga?
Eeh Saida! Saida!
Kwa nini una manga manga?

Saida yule yule patikana na boda boda!
Saida yule tena ameshikwa na MCA!
Saida yule yule ametiwa mimba na nani!
Saida huyu huyu amepigwa sokoni kule!
Saida yule tena anenguwa kiuno pale! (Whistle)
Saida tena nini wabadili rangi ya mwili?
Unalamba moto, utakuja chomwa;
We Saida unalamba moto, utakuja chomwa

Eh Saida niambie
Kwa nini una manga manga?
Eeh Saida niambie
Kwa nini una manga manga?
Kwa nini una manga manga?
Acha kumanga, manga daily;
Kwa nini una manga manga?

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Saida (Single)


Copyright : (c) 2021 Klassic Nation


Added By : Don Santo

SEE ALSO

AUTHOR

DON SANTO

Kenya

Don Chrisantos Michael Wanzala (born April 13), popularly known as Don Santo (stylized as DON SANT ...

YOU MAY ALSO LIKE