Nifundishe Lyrics

Usinambie, kwa namba za huzuni;
Life is but an empty dream!
Kwani, nafsi ilolala ni hayati;
And things are not what they seem
Bila shaka utasimama;
Mumea ulopandwa kwa mto
Siku yako itafika;
Majani mabichi utalazwa
Kuwa na roho, moyo, sura kama simba;
Ipige moyo konde ufwate mwito
Nifundishe! Niongoze!
Kukujua wewe hekima Baba!
Would you be my guide my Father Lord
Waweza kuwa, yeyote unayependa;
Bora uwe mwaminifu kwa Rabana
There’s no shame! Dontchu fear my friend;
Hakuna dhambi hawezi ifuta
Bila shaka una neema;
Mumea ulopandwa kwa mto;
Kama mlima sing’oki;
Majani mabichi hunilaza
Kuwa na ujanja, ari, macho kama tai;
Kuwa nayo nayo, sako kwa bako
Nifundishe! Niongoze!
Kukujua wewe hekima Baba!
Would you be my guide my Father Lord
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Africa Lion (Single)
Copyright : © 2020 Klassik Nation & Don Santo
Added By : KLASSIK NATION
SEE ALSO
AUTHOR
DON SANTO
Kenya
Don Chrisantos Michael Wanzala (born April 13), popularly known as Don Santo (stylized as DON SANT ...
YOU MAY ALSO LIKE