Naogopa x Talk About Love Lyrics

Mapenzi chenga
Yakikupiga unasurrender
Na wengi wakipendwa
Wanasahau kuna kutendwa
Wapi mkandarasi wa moyo
Wa ukuta wa mapenzi unadondoka
Kinacho ponza wengi ni moyo
Wakikalia kuti kavu wanadondoka
Unaweza sema pesa ndiyo breki ila mapenzi hayasomeki
Umemteka kwa mali na cheki
Kumbe vyombo anakula muuza magazeti
Unajisifu umempata, kumbe alomuacha anamfuata
Anachotaka anakipata, wanasema wala ana talaka
Naogopa [Naogopa] x2 Naogopa
Kwenye safari ya mapenzi mi nisiyasikie
Naogopa [Naogopa] x2 Naogopa
Tena tochi ya mapenzi isinimulike
Beautiful darling, baby love…
I like it what you’ve done to me, now I know…
Talk about love, talk about us;
The Joy - and the Lord is my defense;
Beautiful darling, baby love…
I like it what you’ve done to me, now I know…
Naogopa [Naogopa] x2 Naogopa
Kwenye safari ya mapenzi mi nisiyasikie
Naogopa [Naogopa] x2 Naogopa
Tena tochi ya mapenzi isinimulike
Beautiful darling, baby love…
I like it what you’ve done to me, now I know…
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : African Lion (Album)
Added By : KLASSIK NATION
SEE ALSO
AUTHOR
DON SANTO
Kenya
Don Chrisantos Michael Wanzala (born April 13), popularly known as Don Santo (stylized as DON SANT ...
YOU MAY ALSO LIKE