Home Search Countries Albums

Kamwambie Lyrics


Nenda kamwambie
Jinsi navyo mpenda mi
Na kama mapenzi bado
Mwambie ntayaongeza mi
Nasema kamwambie
Jinsi navyo mpenda mi
Na kama mapenzi bado
Mwambie ntayaongeza mi
Jinsi navyo mpenda mi

Sio ningie mori, nyota, na mbala mwezi
Kwa vile mali yake yeye
Natamani ila tatizo siwezi
Labda ingefanya nielewe
Si alinifunza mapenzi, nilikuwa sijui kamwambie
Akanidekeza kishenzi, kwa nyimbo nzuri
Nimwimbie
So asidanganywe na gari burudani na fedha,
Mimi akanichukia
Akalishusa thamani penzi nalompenda, kisa
Mvinyo na bia
Asidanganywe na gari burudani na fedha, mimi
Akanichukia
Mmmh, mwambie asisikie mapenzi, moyo
Wangu unaumia, eeh

Nasema siku hizi hakuna fungate, mapenzi
Hayana thamani
Hivyo mwambie wanaopenda wachache, wengi
Watamani
Uuuh, wanaanzaga kwa tafadhali, wakishapewa
Wanapotea
Mmh, nenda mwambie ajihadhari, na dua njema
Nawombea
So asidanganywe na gari burudani na fedha,
Mimi akanichukia
Akalishusa thamani penzi nalompenda, kisa
Mvinyo na bia
Asidanganywe na gari burudani na fedha, mimi
Akanichukia
Mmmh, mwambie asisikie mapenzi, moyo
Wangu unaumia, eeh
Akamwambie Repeat till fade

Yeah, I was being around, but thanks, Bob
Junior
Mr Chocolate Flava, now I am here
Sharoboo records
It's Diamond Platinumz baby
Holla Back Ladies, It's time to hang on to your love

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2013


Album : Kamwambie (Single)


Copyright : (c)2013 Visual Lab


Added By : Trendy Sushi

SEE ALSO

AUTHOR

DIAMOND PLATNUMZ

Tanzania

Naseeb Abdul Juma ( born on 2nd October 1989 ), popularly known by his stage name Diamond Platnumz, ...

YOU MAY ALSO LIKE