Naenda Yesu Lyrics

Ni David Wonder yeah
(Alexis on the beat)
Na wenye masengenyo
Baki naenda na Yesu
Na wenye michanganyo
Baki naenda na Yesu
Yelele yelele yelele
Baki naenda na Yesu
Yelele yelele yelele
Baki naenda na Yesu
Oh nimeshaijaribu pombe
Ikafanya nikonde
Badala nisonge
Mi mfungwa hainiruhusu niende
Nikajaribu na sigara
Mapafu ikafungana
Nakohoa kohoa
Usiku mpaka mchana
Na nikamkimbilia huyu Yesu
Niliokunywa na wao pombe wanasema sijielewi
Nikamkimbilia huyu Yesu
Niliovuta nao sigara wananisema sana
Na wenye masengenyo
Baki naenda na Yesu
Na wenye michanganyo
Baki naenda na Yesu
Yelele yelele yelele
Baki naenda na Yesu
Yelele yelele yelele
Baki naenda na Yesu
Watoto wako wakihesabiwa
Hata mimi ndani (Ndanii)
Nimeonja utamu wako siamini yaani (Yaani)
Nilipoteza muda mtaani majani (Jani)
Na sasa ushuhuda mpaka kwa jirani
Na nikamkimbilia huyu Yesu
Niliokunywa na wao pombe wanasema sijielewi
Nikamkimbilia huyu Yesu
Niliovuta nao sigara wananisema sana
Na wenye masengenyo
Baki naenda na Yesu
Na wenye michanganyo
Baki naenda na Yesu
Yelele yelele yelele
Baki naenda na Yesu
Yelele yelele yelele
Baki naenda na Yesu
Na nikamkimbilia huyu Yesu
Niliokunywa na wao pombe wanasema sijielewi
Nikamkimbilia huyu Yesu
Niliovuta nao sigara wananisema sana
Na wenye masengenyo
Baki naenda na Yesu
Na wenye michanganyo
Baki naenda na Yesu
Yelele yelele yelele
Baki naenda na Yesu
Yelele yelele yelele
Baki naenda na Yesu
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Naenda na Yesu (Single)
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE