Home Search Countries Albums

In Love

BEKA FLAVOUR

In Love Lyrics


Unajinenepea sasa kibonge
Raha unazonipa kwanini nikonde
Walai acha waone donge
Tunavyopendana hakuna madonge

Penzi unalonipa la Kisultan
Kuna muda nahisi niko peponi
Eey kumbe niko duniani
Wanipa raha zinavyozidi kiponi

Nakupandisha dau kuanzia leo
Maana ulonipa kama la kwenye video
Bonge la toto si umemea
Ukiniita naitika jana na leo

Hatupendani ka mafungu ya nyanya
Mi na baby wangu tunapendana
Real love hatuna mambo ya drama
Hadi tunaweza pendana 

In love, in love, tumezama kabisa
In love, in love, tumezama kabisa
In love, in love, tumezama kabisa
In love, in love, tumezama kabisa

I love you baby, you got me crazy
Give it to me, give it to me am ready
Sounds amazing to have my baby
Come here look at you see how we made it

Kweli umenibamba moja yako namba
You gonna kill me slowly
Sina haja ya kudanga, mapenzi ya kitanga
Unanipa na enjoy

Nakupandisha dau kuanzia leo
Maana ulonipa kama la kwenye video
Bonge la toto si umemea
Ukiniita naitika jana na leo

Hatupendani ka mafungu ya nyanya
Mi na baby wangu tunapendana
Real love hatuna mambo ya drama
Hadi tunaweza pendana 

In love, in love, tumezama kabisa
In love, in love, tumezama kabisa
In love, in love, tumezama kabisa
In love, in love, tumezama kabisa

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : In Love (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

BEKA FLAVOUR

Tanzania

BEKA FLAVOUR  real name Bakari Katuti is a musician from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE