Home Search Countries Albums

Wallahi

B CLASSIC 006 Feat. MARIOO

Wallahi Lyrics


Sio sura tu
Mtoto mwendo nyatu nyatu
Fyetu fyetu pako mpaka najilaumu
Na penzi lako lishakuwata
Tena mwanga naona mbali

Nibalishe hadi motokaa
Nione kama utanikubali
Bana sio poa, siku hizi ninavimba wanakonda
Ati kisa ni mapenzi
Bana sio poa, hata wakisha wakipona

Mpaka wajinyonge huu mwaka huu
Penzi likoleze my baby boo
Najua unanipenda I love you too
Mi sina mwingine ni wewe tu

Wallahi, wallahi
Wallahi, wallahi

Mashallah Mashallah
Ulivyoumbika naona uchizi wee
Sura wowowooo
Mkumbato mwizi ndani yote una ukizi we

Mashallah Mashallah
Ulivyoumbika naona uchizi wee
Sura wowowooo
Baby oh I love you

Kwenye wangu mtima
Uko peke yako
Hivi ukiondoka, utabaki wazi
Na kwenye wangu mtima
Kuna uwepo wako
Ujue ukiondoka 
Ah nitaambia nini watu?

Wallahi, wallahi
Wallahi, wallahi

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Wallahi (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

B CLASSIC 006

Kenya

B Classic 006 is an artist from Kenya. ...

YOU MAY ALSO LIKE