Sitaki Tena Lyrics
(Yogo on the Beats)
Umenitesa roho ni kweli sio masihara
Kutwa nahuzunika lole
Nikawa kama fala (Nikawa kama fala)
Nilijipa moyo, mbona nitafuna?
Miezi donda ndugu kwangu sugu
Kufutika never
Sasa umeona, urudi tena
Unaomba msamaha wa kurudiana
Sasa umeona, urudi tena
Unaomba msamaha wa kurudiana
Nasema sitaki tena, tena
Mi sitaki tena, tena
Kurudi ya nyuma, tena
Oh sitaki tena, tena
Sasa umeona, tena
Mi sitaki tena, tena
Kurudi ya nyuma, tena
Oh sitaki tena
(Oh sitaki tena, oh sitaki tena)
Kama unanishow, mapenzi toka China
Tena una mengi majina, eti love designer
Wanakuita designer, unavyojua kushona
Unavyoringa kama nyuzi ya shanga
Kutikisa nyonga
Sasa umeona, urudi tena
Unaomba msamaha wa kurudiana
Sasa umeona, urudi tena
Unaomba msamaha wa kurudiana
Nasema sitaki tena, tena
Mi sitaki tena, tena
Kurudi ya nyuma, tena
Oh sitaki tena, tena
Sasa umeona, tena
Mi sitaki tena, tena
Kurudi ya nyuma, tena
Oh sitaki tena (Oh sitaki tena, sitaki tena)
Sasa umeona, urudi tena
Unaomba msamaha wa kurudiana
Sasa umeona, urudi tena
Unaomba msamaha wa kurudiana
Nasema sitaki tena, tena
Mi sitaki tena, tena
Kurudi ya nyuma, tena
Oh sitaki tena, tena
Sasa umeona, tena
Mi sitaki tena, tena
Kurudi ya nyuma, tena
Oh sitaki tena (Oh sitaki tena, sitaki tena)
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Only One King (Album)
Copyright : (c) 2021 Kings Music/ Ziiki Media
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
ALIKIBA
Tanzania
Ali Saleh Kiba, better known by his stage name AliKiba, is a Tanzanian recording artist, singer-song ...
YOU MAY ALSO LIKE