Home Search Countries Albums

Sitaki Tena

ALIKIBA

Read en Translation

Sitaki Tena Lyrics



(Yogo on the Beats)
Umenitesa roho ni kweli sio masihara
Kutwa nahuzunika lole
Nikawa kama fala (Nikawa kama fala)
Nilijipa moyo, mbona nitafuna?
Miezi donda ndugu kwangu sugu
Kufutika never

Sasa umeona, urudi tena
Unaomba msamaha wa kurudiana
Sasa umeona, urudi tena
Unaomba msamaha wa kurudiana

Nasema sitaki tena, tena
Mi sitaki tena, tena
Kurudi ya nyuma, tena
Oh sitaki tena, tena

Sasa umeona, tena
Mi sitaki tena, tena
Kurudi ya nyuma, tena
Oh sitaki tena
(Oh sitaki tena, oh sitaki tena)

Kama unanishow, mapenzi toka China
Tena una mengi majina, eti love designer
Wanakuita designer, unavyojua kushona
Unavyoringa kama nyuzi ya shanga
Kutikisa nyonga

Sasa umeona, urudi tena
Unaomba msamaha wa kurudiana
Sasa umeona, urudi tena
Unaomba msamaha wa kurudiana

Nasema sitaki tena, tena
Mi sitaki tena, tena
Kurudi ya nyuma, tena
Oh sitaki tena, tena

Sasa umeona, tena
Mi sitaki tena, tena
Kurudi ya nyuma, tena
Oh sitaki tena (Oh sitaki tena, sitaki tena)

Sasa umeona, urudi tena
Unaomba msamaha wa kurudiana
Sasa umeona, urudi tena
Unaomba msamaha wa kurudiana

Nasema sitaki tena, tena
Mi sitaki tena, tena
Kurudi ya nyuma, tena
Oh sitaki tena, tena

Sasa umeona, tena
Mi sitaki tena, tena
Kurudi ya nyuma, tena
Oh sitaki tena (Oh sitaki tena, sitaki tena)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Only One King (Album)


Copyright : (c) 2021 Kings Music/ Ziiki Media


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

ALIKIBA

Tanzania

Ali Saleh Kiba, better known by his stage name AliKiba, is a Tanzanian recording artist, singer-song ...

YOU MAY ALSO LIKE